In many countries there exists a high prevalence of water and sanitation-related diseases, causing many people, children, in particular, to fall ill or even die. Improved hygiene practices are essential if transmission routes of water and sanitation-related diseases are to be cut. By understanding this, Tanzania (one of…
Waziri Mkuu Hachukulii Poa. Waziri mkuu Muheshimiwa Kasim Majaliwa Majaliwa anaunga mkono kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira, ujenzi wa vyoo bora na unawaji mikono. Jana katika ziara yake halmashauri ya wilaya Lushoto amewaambia wanalushoto si vyema kujisaidia vichakani na pia kukosa choo bora kuna madhara makubwa…